POMBE NA UJAUZITO

Kuacha matumizi ya pombe wakati wa ujauzito ni moja ya njia ya kuzuia kupata madhaifu ya kuzaliwa kwa kichanga na matatizo kadhaa yanayoweza kutokea kwa kichaga kutokana na matumizi ya pombe wakati wa ujauzito. Madhara haya ya pombe huweza kuathiri akili ya mtoto na kupelekea uwezo duni wa mtoto kujitambua na dalili zingine ambazo huashiria Mtoto

Read More

Vyakula hatari kwa mama mjamzito

Wakati wa ujauzito, ni muhimu kwa mama mjamzito kuepuka vyakula ambavyo vinaweza kuhatarisha afya yake na ya mtoto anayekua tumboni. Vyakula vifuatavyo vinapaswa kuepukwa: Vyakula ambavyo havijaiva vizuri au vibichi Vyakula vibichi au visivyopikwa vizuri vinaweza kuwa hatari kwa wanawake wajawazito kwa sababu vinaweza kubeba bakteria, virusi, au vimelea vinavyoweza kusababisha maambukizi mabaya kwa mama

Read More

Njia sahihi ya kunyonyesha mtoto

Chagua mkao mzuri ama badili mkao mara unapokuwa umechoka Kumbuka mtoto anatakiwa anyonye chuchu moja kwa muda wa dakika 20 kabla ya kubadilisha titi jingine. Usimkatishe mtoto kunyonya kabla ya muda huo haishauriwi kiafya. Kadri mtoto anavyonyonya ndivyo kichochezi mwili cha prolactine oxytocin hutolewa kutoka katika ubongo na kuzidi kuruhusu utengenezaji na utoaji wa maziwa katika titi.

Read More

Maziwa ya mama

Maziwa ya mama yameonekana kuwa chanzo kizuri cha lishe kwa mtoto, wanasayansi wamekuwa wakiendelea kujifunza kuhusu mchanganyiko huo wa maziwa ya mama ili kuweza kutengeneza maziwa yanayofanana na mchanganyiko huo. ​ Kemikali za nukliotaidi zilizo kwenye  maziwa ya mama na baadhi ya maziwa ya fomula, zimeonekana kufanya  kazi kubwa katika kuimarisha mfumo wa kinga za

Read More

Lishe Bora kwa Mama Anayenyonyesha

Lishe bora kwa mama anayenyonyesha ni muhimu sana kwa afya yake na ukuaji mzuri wa mtoto wake. Mama anayenyonyesha anahitaji virutubishi vya kutosha ili kuzalisha maziwa yenye lishe bora kwa mtoto na kudumisha afya yake mwenyewe. Umuhimu wa Lishe Bora kwa Mama Anayenyonyesha Mama anayenyonyesha ana mahitaji makubwa ya nishati na virutubishi kwa sababu mwili

Read More

Lishe Bora kwa Mtoto: Mwongozo wa Afya na Ukuaji

Lishe Bora kwa Mtoto: Mwongozo wa Afya na Ukuaji Wazazi wengi wanaweza kuandaa lishe ya watoto wao, lakini changamoto kubwa ni kutokujua viungo sahihi vya msingi na uwiano mzuri wa mchanganyiko wa chakula. Lishe bora inachangia ukuaji mzuri wa kimwili na kiakili wa mtoto. Umuhimu wa Mchanganyiko Sahihi wa Chakula Watoto hukua kwa kasi zaidi

Read More

ASALI YA ASILI

Asali ya asili ni matunda ya asili yanayotokana na mbee zinazokusanya nectar kutoka kwa maua mbalimbali. Asali hii inajulikana kwa ladha yake tamu, rangi nzuri, na virutubisho vya kipekee vinavyosaidia afya ya mwili na akili. Inajivunia kuwa 100% asili, isiyo na kemikali wala viambato vya bandia. Asali hii ni chanzo cha antioxidants, vitamini, madini, na

Read More

UNGA WA ROSELLA + BEETROOT

Unga wa Rosella (Hibiscus) na Beetroot ni mchanganyiko wenye nguvu wa mimea asilia unaotoa lishe bora kwa mwili wako. Unga huu unatokana na maua ya Rosella yaliyokaushwa na kusagwa pamoja na mizizi ya Beetroot, bila kemikali wala vihifadhi bandia. Rosella inajulikana kwa kuwa na vitamini C nyingi, inayosaidia kuimarisha kinga ya mwili, huku Beetroot ikiwa

Read More